HOW TO GET ZINC MINERALS/HOW MUCH YOU LOOSE WHEN!
Ninataka kuzungumzia Madini ya zinc mwilini na yana patikana katika vyakula vya
aina gani na yanaweza kuwa destroyed, madini ya zinc yanapatikana haswa
kwenye,cereals,nyama aina ya offals,kaa,pweza,ngisi,maharagwe,yeast,uyoga,mbegu
za maboga alizeti,karanga, korosho haswa Brazilian nuts.
Madini yana saidia
sana kutibu vidonda naturally ndo maana watu wenye madini ya zinc mengi mwilini huwa wanapona
haraka kuliko wengine wnye madini hayo pungufu, kwa kuwa miili yetu iliumbwa kujiponya yenyewe,ni pale tu iwapo
ukaupatia mwilishi vyakula vyenye lishe bora vyenye vitamins na minerals za kutosha,
Pia husaidia kwenye mental
alertness ama wabongo husema mwezi umeanda ama kichaa cha mwezi mchanga cha kuja na kuondoka, husaidia ngozi kuwa mololo nzuri hata kuzuia kutokeza kwa vichunusi kwa kuwa inafuction vizuri bila kusahau msaada wake kwenye meno na husaidia pia watu wenye
matatizo ya manii kama ni ndogo ( low sperm Count) na kushindwa kuzalisha mbegu za kutosha, huongeza
uwezo na hamu ya kuchuja nafaka ( tendo la ndoa) kwa wanaume na wanawake na kuongeza ufanisi wa
afya ya viungo vya uzazi.
Endapo madini haya yakiongezwa na vitamins za
nyingine yanaweza kutumika kwa kuondolea sumu mwilini na kusaidia mfumo wa
chakula kufunction vizuri na kukupatia afya bora ukizingatia niliyokuambia.
Kwa hiyo fikiria kaka kila unapo chuja nafaka na kumwaga jua ya kuwa unamwaga 5mg za zinc na ukichuja bao tatu yamaanisha umepoteza zinc kiasi gani? hebu
tujiulize kila siku unakamua ngapi? na je unakula hivi vitu kweli? ama ndo
unaviskia bombani?
Mwenzenu cassanova alikuwa akila pweza angalau vikamba vyake
hamsini kila asubuhi ili kumpatia nguvu na uwezo zaidi wa kuchuja nafaka wewe
je?
kama huwezi kwa mtindo huo nipigie nikupe solution 0753 320 009 hata kama umembiwa huwezi kumpatia mwanamke ujauzito kwa kukosa manii ya kutosha ama mbegu zanya afya pamoja tunaweza
much love!
Ushauri mzuri kilichobaki tuzingatie kula hivi tulivyoshauriwa ili tuwe imara
ReplyDelete