Chunusi
ni mkusaanyiko wa mafuta ama usaa unaokaa kwenye uso,kifua,Shingo,mgongo na
wakati mwingine hadi mabegani, mkusanyiko huo huwa unatokea kwenye ngozi
zilizokufa ama dead skin zisizoweza kufunction vizuri kwa kuwa vinyweleo vya
ngozi vinakuwa vimezibwa hivyo kusababisha ngozi kushindwa kupumua na kuotesha
vinundu nundu kwa juu ya ngozi vilivyo jaa uchafu uliopaswa toka nje kwa
kutumia jasho hewa, ama pindi unapo isafisha kupitia matundu haya ikiwa kinyume
na hapo ndipo bacteria wanaotengeneza chemicals wanatengeneza enzyme ambayo inaweza
ikatengeneza vidonda, muwasho,fukuto na harara siyo kwamba ni ugonjwa unao
haribu afya ya mwili sana ispokuwa huwa inapunguza kujiamini pamoja na kutojiskia
vizuri kwa wanawake na wanaume wenye tatizo hili huwa pia wanatabia za kushika shika nyuso zao kwa kudhani ya kuwa wanaweza kumaliza tatizo hilo kwa kukamua lakini huwa wanazidisha hali hiyo kuwa mbaya kwa kuwa mara nyingi pia mikono huwa na backteri mbali mbali wanaochangia kupelekea hali hiyo kuwa mbay na backteria hawa hupatika kwenye kutonawa mikono baada ya kujisaidia ama kula vyakula bila kunawa unashika uso ama kwa kusalimiana na watu n.k na endapo
halijashughulikiwa mapema kwa wengine huweza kubwa na kuwaweka katika hali mbaya ya
kuuharibu uso kwa mabaka na vijishimo vya uso na kuonekana ni binadamu wa kutisha moja kwa moja.
Visababishi vya chunusi ni kadhaa na si
kimoja navyo ni
§
Hormon zikizidi sana ndo maana asilimia kubwa
huwakuta wanaume wanapo balehe ama mabinti Wanapokuwa wanakaribia kuingia
katika siku zao au kuvunja ungo vipindi hivi mara nyingi huwa hormones zinapanda
§
Heredetery or genetic genes
§
Wakati mwingine husababishwa na matumizi ya
madawa tunayokunywa haswa kwa wale wanaolazimika kutumia madawa kila siku
kutokana na ugonjwa Fulani ili kuustabilize
§
Pia kwa wale wanaotumia vipodozi ambavyo si
sahhi vyenye mwadawa mengi ama zaidi yale yenye kemikali sythenic kama ukisoma
maelekezo waweza ona hili kwenye chupa ama box pia matumizi ya mafuta ya mboga
za majani husababisha.
§
Bila kusahau stress ama msongo wa mawazo
kupitiliza na zaidi kwa wale watu wenye kuhuzunika kupitiliza,kujilaumu na kuwa
na wasi wasi kwa muda mrefu kifupi prolonged emotional tension
So kama una this type of problem you may consider it not a
problem anymore fuata maelekezo na epukana na visababishi vya chunusi so that
you can feel good about yourself kuwa unapendelea natural staff kunywa maji
mengi kula vizuri na tumia vipodozi sahihi kwa ajiri ya matunzo ya ngozi yako
ikiwemo sabuni na kama unaona hali ni mbaya sana piga simu kwa ajiri ya
matibabu 0753 320 009
Pia muhimu sana kutumia products zako ziwe ni
za brand moja siyo shampoo unatumia ya yai,mafuta ya mwili Vaseline,hair
conditioner olive oil,hair spray avocado body spray sijui kitu gani sabuni ya
kuogea sielewi pamoja na makeup remover N.K so be carefull with what you use and how you use.
Much love!!!!
0 comments:
Post a Comment